Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2017

JINSI YA KUPATA LIKES INSTAGRAM

  Hii ni njia rahisi na ya haraka zaidi inayo kuwezesha kupata like nyingi kwny post zako instagram.   Ili kuweza kupata like hzo instagram lazma uwe application ambayo itakuwezesha kuboost like unazotaka kwa wakati sahihi.   Hiyo application ambayo inaweza kutoa likes hzo unazohitaji na inaweza kukufanya ukawa popular kuwa m2 ambae unaongoza kuwa likes nyingi zaid    Hiyo application inaitwa 4liker. Hii ni ambayo tuliitumia kule kwny kuongeza like Facebook.     Ili kuweza kupata hzo like kwa urahisi unachotakiwa kufanya ni kuingia google na kudownload app ya 4liker.  Check hiyo video ambayo inaelekeza jinsi ya kupata like.
Hii hapa ni njia nyingine na rahisi sana kupata like nyingi facebook kwa kutumia app ya aina nyingine iitwa dj liker.  H ii app inapatikana kwenye Google  na sio PlayStore  kama tulivyozoea kawaida pindi tunapoitaji apps tofauti.   Unachotakiwa kufanya ni kuingia google search na utaandika djliker apk  then utadownload na kuinstall kwenye simu yako.  Baada ya hapo Angalia hiyo Video hapo Juu kujua jinsi ya kuitumia hiyo app ya Dj Liker.             ASANTENI.